Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Rais William Ruto amesema mpango wa nyumba za gharama nafuu, umebadilisha na kupandisha hadhi ya Wakenya wengi wa kipato cha chini hususan wanaoishi kwenye mitaa duni. Akizungumza katika mahojiano ya…
Watu kadhaa pia wameambukizwa ugonjwa huo, baada ya kudaiwa kula wanyamapori ambao wameambukizwa kimeta katika eneo la Mto Munyamadzi.
Alizaliwa katika familia ya Kiislamu na alipigwa akiwa mtoto baada ya kwenda kanisani.