Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Sherehe ya ufunguzi itaanza dakika 90 kabla ya kung'oa nanga kwa mechi ya ufunguzi.
Watu waliokuwa wamejihami kwa bunduki, walivamia eneo la Cleveland karibu na mji wa Johannesburg na kuwapiga risasi watu ambapo 12 walifariki na wengine 9 kujeruhiwa. Kulingana na msemaji wa polisi wa Afrika Kusini Kanali Dimakatso Nevhuhulwi, zaidi ya watu 10…
Omondi alishinda korokoroni wikendi iliyopita baada ya kukamatwa kwake.