Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Kiongozi huyo wa Kenya alisema serikali imepiga hatua kubwa katika kulainisha mashirika yanayowatafutia wakenya ajira ughaibuni.
Mwanamke raia wa Canada ameuawa, huku watu wengine kadhaa wakijeruhiwa baada ya mwanaume aliyekuwa amejihami kufyatua risasi kiholela katika kituo cha kitalii huko Mexico, hayo ni kulingana na maafisa wa serikali wa Mexico. Tukio hilo lilijiri katika eneo la utafiti…
Blessing Angel Atuhaire alinaswa kwenye video akiendesha baiskeli akiwa amevaa sare kamili ya shule, mkoba mgongoni huku mvua ikinyesha.