Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Waziri wa mambo ya nje Musalia Mudavadi amesema hatua hiyo inaonyesha ushirikiano imara na wa muda mrefu kati ya mataifa hayo mawili.
Uamuzi wa Chad unafuatia ule wa nchi jirani za Burkina Faso, Mali na Niger, ambazo pia ni serikali za kijeshi.
Awamu ya 4 itaandaliwa Julai 31, 2026 ndani ya Super Dome, Masaki, Dar es Salaam Tanzania.